Kwanza kabisa, hakikisha unaepuka kulalamika. Ukilalamika unakuwa unawanufaisha wale ambao wanakusikia.
Epuka kufuatilia maisha ya watu wengine
Epuka kutumia fedha yako yote ulyonayo bila kuweka akiba
Epuka kukopa. Tumia dfedha yako
Epuka kutumia fedha zaidi ya kipato chako
Epuka kumezwa na mitandao ya kijamii
Epuka kuianza na kuimaliza siku yako bila ya kuwa na malengo ambayo unayafnyia kazi
Epuka kuishi bila ya ndoto kubwa
Kila la kheri