Kitu muhimu unachopaswa kufahamu kabla ya kuajiri


Ukiingia kwenye ujasiriamali ni wazi kuwa itafikia hatua ambapo utahitaji kuajiri.

Iwe Ni msaidizi wa kazi
Mtu wa masoko
Mtu wa mauzo
Au yeyote yule..

Kwa vyovyote vile utapaswa kuajiri…

Sasa kabla ya kuajiri jiulize je, kuna mashine au kitu ambacho kinaweza kufanya hii kazi?

Kama hiki kitu kitumie kwanza badala ya kuajiri.

Kama hakuna mashine wala kifaa chochote kinachoweza kufanya hiyo kazi jiulize swali la pili.

Je, kuna mtu AMBAYE anaweza kufanya kazi hii kwa part time na akalipwa kidogo? Kama yupo mtumie huyo pia…

Kama hivyo vyote viwili vimeshindikana basi nenda moja kwa moja kwenye kuajiri.

Kila la kheri.

[mailerlite_form form_id=0]


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X