Mafanikio Sio Ajali


Mafanikio siyo kitu kinachotokea mara moja kama ajali, bali ni kitu ambacho kinatokea kwa kuandaliwa kila siku.

Kwa hiyo mafanikio yako unapaswa kuyaandaa kila siku. Usisubiri ije itokee siku moja ambapo utaamka ukiwa umefanikiwa. Ishi kila siku yako kwa mafanikio.

Maana mkusanyiko wa siku moja moja ndio unaleta mafanikio makubwa.

Soma zaidi: Nguvu Ya Riba Mkusanyiko

Kupata Mafunzo Zaidi BONYEZA HAPA


One response to “Mafanikio Sio Ajali”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X