KUWA MABADILIKO UNAYOTAKA KUYAONA


Kama kuna mabadiliko unataka kuyaona kwenye jamii yako wewe kuwa wa kwanza kuonesha njia.

Badala ya kukaa na kulalamika kwamba unataka ufanyiwe kitu fulani. Onyesha njia. Fanya unachotaka kuona.

Mabadiliko yanaanza na mimi na wewe.

Ni mabadiliko gani unayotaka kuona?

Picha hiyo hapo juu inaonesha kijana aliyetaka kufanya mabadiliko kwenye jamii yake kwa kuwasaidia kusoma vitabu. Aliweka maktaba kwenye saloon yake badala ya TV na kila mtu aliyesoma kitabu alipewa punguzo wakati wa kunyolewa.

Wewe ni mabadiliko gani unataka uyaone kwenye jamii yako. Utachukua hatua gani ndogo kuhakikisha na wewe unakuwa sehemu ya hayo mabadiliko?

Nishirikishe kupitia godiusrweyongeza1@gmail.com

SOMA ZAIDI: TATIZO LAKO WEWE

Hapa Ndipo Mabadiliko Makubwa Huanzia

Kama Unataka Kubadili Dunia Fanya Haya Hapa

Ni mimi
Godius Rweyongeza
0755848391
Morogoro-Tz

.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X