Hiki Kitu Nilichoambiwa Kuhusu Wewe Ni Cha Kweli?


Hivi ni kitu gani huwa kinakupa furaha na kupata hali ya ukamilifu kwenye maisha yako?
Mwaka 2013 chuo kikuu cha North Carolina kwa ushirikiano na watafiti wa UCLA. Walifanya utafiti na kugundua kuwa moja ya kitu kinachowafanya watu furaha ni ile hali ta kukamilisha jukumu au kitu ambacho mtu amekuwa anatamani kufanya kwa siku nyingi.


Looh, ebu fikiria ni kitu gani umekuwa unatamani kufanya na kukamilisha? Ni kitu gani kipo ndani yako ambacho unatamani ungekifanya na kukikamilisha?
Je, ni kuandika kitabu?
Waandishi wengi wa vitabu wameripoti kujisikia huru na kuwa na ile hali ya kuwa kuna jambo wamelitiza baada ya kuandika kitabu.

Kwa wengine kuandika kitabu kunawapa utambulisho mpya na kuwafanya sasa waonekane ni viwango fulani.
Hii ni kutokana na ukweli kuwa ukimwambia mtu nimeandika kitabu. Anachukulia hilo suala kwa umakini mkubwa. Anakuweka kwenye viwango vingine. Unakuwa mwandishi kweli kweli maana kuna watu wanajiita waandishi huku wakiwa hawajahi hata kuandika makala fupi tu.


Hivi wewe kitabu chako ndio utakiandika lini? Utakikamilisha lini na kukitoa?
Natamani mwaka huu nione kitabu chako kikiwa kimekamilika. Na ninaweza kukusaidia katika hili la kuandika kukamilisha kitabu chako mwaka huu. Ninaweza kukushika mkono kwa kukupa mbinu na taratibu za kufuata mpaka ukamilishe kitabu chako. 


Siyo Hilo tu, changamoto nyingine ya waandishi ni kuandika vitabu visivyouzika. Mwandishi unakaa navyo kabatini… Kwa lugha yetu vijana tunasema, UNAPIGA NAVYO PICHA….Hilo nalo lina suluhisho lake.
Kama ungependa nikushike mkono kwenye kuandika kitabu chako. Basi karibu kwenye darasa rasmi la uandishi mwaka 2022. Darasa hili ni la kimtandao na litafanyika kwa njia whatsap. Ndani yake utapata mafunzo ya kina ya kuandika.

👉UTAANDIKA kitabu chako na kitakamilika ndani ya siku 30.
👉Nitakusimamia na kusoma kazi zako unazoandika kila siku na kukusaidia kuziboresha.
👉Nitakufungulia blogu ya bure.
👉Utajifunza mengi kutokana na yale wanayoandika wenzako na maoni nitakayokuwa natoa kuhusu kazi za wenzako.
👉Utapata kitabu Cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU NDANI YA SIKU 30 bure.
👉Utapata jarida lenye hatua 15 za kufuata ili kuandika magazetini.
👉Utapata mafunzo ya audio zaidi ya 10. Yakiwemo mahojiano na waandishi wakubwa hapa nchini.

👉Utaungana na waandishi wengine wanaoandika na kujifunza mengi kutoka kwao.Nafasi kwenye kozi hii ni 10 tu. Hivyo, kama unataka kuhudhuria kozi hii, sharti uwahi kujihakikishia nafasi yako kabla hazijaisha.

Na gharama za kuhudhuria darasa hili la kipekee itakuwa ni laki mbili (200,000/) tu. Jihakikishie nafasi yako Sasa hivi kwa kuwasiliana na 0755848391 kabla nafasi hazijaisha.

NAKUKUMBUSHA TU: kozi hii ni ya siku 30 tu, na huna kitu chochote cha kupoteza. Endapo utajiunga na kozi hii ila katikati mwa kozi au mwishoni ukaona kuwa haifai, utanipigia simu nami nitakurejeshea fedha yako bila kukuuliza maswali yoyote.Hivyo, jisajili sasa hivi kwa kuwasiliana na 0755848391.

Au BONYEZA HAPA  kuwasiliana nami sasa hivi


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X