Kama hujui unachotaka sasa hivi, ukikiona kesho hutakifahamu pia


 

Kuna watu huwa hawaweki malengo kwa kisingizio kwamba kitu chochote wanachotaka wakikiona watakifahamu.  Ila ukweli ni kwamba, kama kitu unachotaka hukijui, hata kesho ukikiona hutakifahamu.

Ndiyo maana inashauriwa uwe malengo kwa sababu yanakufanya uone unachotaka. Na chochote kile ambacho akili yako inaweza kuona, basi inaweza kukifikia.

Tembelea blogu yangu kupitia

SONGA MBELE BLOG


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X