Deprecated: Constant FILTER_SANITIZE_STRING is deprecated in /home/songambele/public_html/wp-content/plugins/blogger-to-wordpress-redirection old/b2w-redirection.php on line 91
KWA WAANDISHI WA VITABU:NI LUGHA GANI NZURI UNAPASWA KUTUMIA WAKATI WA KUANDIKA KITABU CHAKO? - SONGA MBELE

KWA WAANDISHI WA VITABU:NI LUGHA GANI NZURI UNAPASWA KUTUMIA WAKATI WA KUANDIKA KITABU CHAKO?


Kuna watu huwa wanauliza ni lugha gani inafaa kutumia kwenye kuandika? Kiswahili au kiingereza?

Jibu la swali hili ni vigumu kulipata kwa mtu mwingine, badala yake wewe mwenyewe unapaswa kuangalia
Watu uliowalenga.

Kama wasomaji wako wanajua vizuri Kiswahili Basi waandikie kwa Kiswahili, au la kama wanauelewa na kiingereza waandikie kwa kiingereza.

Kwa hiyo badala ya kujiuliza niandike kwa Kiswahili au kiingereza; jiulize wasomaji wangu ni watu wa aina gani? Je, wanaiweza lugha gani?

Tumia taarifa hizo kwenye kuandika kitabu chako.

Kupata kitabu cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU NDANI YA SIKU 30 tuma elfu 5 kupata softcopy na elfu 15 kwa hardcopy.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X