Kinachotokea Unapokuwa Na Ndoto Kubwa


 Jana niliandika makala yenye vitu 9 ambavyo hupaswi kuchoka kufanya. Mmoja wa wasomaji wa amkala hiyo alinibu kwa kusema hivi

Nami nikawa nimemjibu pia kwa ujumbe huu hapa chini

Ni kweli unapokuwa unapambania ndoto kubwa watu watakuona mtu wa ajabu sana. 

Watakuona kichaa, utaambiwa umechnganyikiwa na mambo mengine mengi.

Na hili linawatokea watu wote wenye ndoto kubwa. 

Kuwa na ndoto kubwa ni sawa na kucheza muziki ukiwa na earphone masikioni. Wengine hawausikii huo muziki ila kwako unakuwa umenoga. Wanaokuona unacheza watakuona kichaa tu, kwa sababu muziki unaocheza kwao hauna maana.

Ndio  maana Steve Jobs anasema kwamba, watu wenye kichaa cha kutosha kiasi cha kufikiri wanaweza kuibadili ndio ambao huibadili. Kuna wakati unapokuwa na ndoto kubwa, unapaswa kukubali tu kuonekana kichaa.

Nashauri sana usome kitabu changu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO. Kina mengi ya kueleza kuhusu ndoto.


One response to “Kinachotokea Unapokuwa Na Ndoto Kubwa”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X