Kwa Nini Asilimia 1 Tu Ya Watu Duniani Ndio Hufanikiwa Sana


Tafiti nyingi zimeonesha kuwa asilimia 1 ya watu duniani ndiyo wenye mafanikio makubwa kukiko wengine. Na hiki kitu kinaelekea kuwa kinafanya kazi kila sehemu.

Asilimia 1 ya watu ndio wanaoohodhi mitandao tunayoitumia mara kwa mara. Ndiyo maana juzi anguko la mitandao ya facebook limeleta taharuki kubwa sana.

Asilimia 1 ya watu ndio wanaomiliki mashamba makubwa na ndio wanaozalisha kwa wingi kuliko asilimia 99 iliyobaki.

Na mwendelezo huu unaweza kuuona karibia kwenye kila sekta.

Sasa kwa nini watu wachache tu ndio wanabarikiwa hivi?
Kwa sababu maisha ni fursa. Wale wachache ambao wanakuwa tayari kubeba fursa hizi na kuzitumia ndio ambao wanabarikiwa zaidi, huku wale ambao hata hawana jicho la fursa wakiendelea kubaki vilevile. Na fursa ukizitumia lazima tu zitakubeba. Kitu hiki kinawafanya watu wachache sana kufanikiwa ukilinganisha na wengine.

Hivyo, basi unapaswa kubadili mtazamo wako na kuanza kuangalia maisha kwa mtazamo wa kuziona fursa. Maisha Ni Fursa Zibebe.

Kwa kuona hili, nimekuandalia kitabu kinachoitwa MAISHA NI FURSA. ZITUMIE ZIKUBEBE , kwenye kitabu hiki nimekueleza kwa kina kila kitu Unachohitaji kujua kuhusu fursa. Ni kitabu ambacho nisingependa kuona unakikosa.
Hakikisha unapata nakala yako leo.
Kupata nakala yako, tuma elfu sita tu (6,000/-) kwa
Airtel money: 0684 408 755 au

Mpesa 0755848391

kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA.

Baada ya malipo utaniambia nikutumie kitabu.

NB. Kitabu hiki ni soft copy.

Changamka sasa upate nakala yako.


One response to “Kwa Nini Asilimia 1 Tu Ya Watu Duniani Ndio Hufanikiwa Sana”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X