Hiki Ndicho Kitakachotokea Miaka Mitano Ijayo…


 Miaka mitano ijayo utakuwa jinsi ulivyo ,isipokuwa kwa vitu viwili. Vitabu unavyosoma na watu unaokutana nao. Watu unaokutana nao wana uwezo wa kukubadili na kukufanya mpya. Watakupa mtazamo wao, fikra zao, ujuzi n.k.

Ukitaka kwenda MBALI ambatana na watu sahihi.

Vitabu pia ni muhimu sana. Vitabu muda mwingine vinaweza kukukutanisha na watu sahihi. 

Muda mwingine kama hupati watu sahihi, basi unapaswa kuvifanya vitabu kuwa rafiki yako wa kweli.

Kwa kulifahamu hili, nimekuandalia kitabu cha MAISHA NI FURSA: ZIBEBE ZIKUBEBE. Ili kiweze kuwa mwongozo kwako kwenye suala zima la fursa.

Hakikisha unapata kitabu hiki cha kipekee, ambacho kinapatikana kwa bei nafuu tu  ya elfu sita (6,000)/-)

Kupata nakala ya kitabu hiki lipia elfu sita kwa

MPESA 0755848391

Airtel money: 0684 408 755

 Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA.

NB. Kitabu hiki ni soft copy.

Ni mimi

GODIUS RWEYONGEZA

+255755848391

MOROGORO-TZ


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X