KITABU CHA SUGU: From The Streets To Parliament; MUZIKI NA MAISHA


Leo wakati natembea hapa mtaani, nimekutana na mtu anauza vitabu kikiwemo hiki cha wasifu wa SUGU.

Nilivyoambiwa bei ya kitabu tu, sikuchelewa kutoa fedha mfukoni kukichukua!
Kinaeleza maisha yake kutoka mtaani mpaka kufika bungeni.

Ndio naanza kukisoma hivyo maswali yako yote yatunze. Utaniuliza nikimaliza kukisoma.

Kwa wale mnaopenda vitabu vyenye picha, hiki kinaweza kukufaa pia. Kina picha za hapa na pale kuanzia utotoni, harakati za mziki na hatimaye akiwa hungeni.

Nimefanya uchambuzi wa kitabu hiki hapa. Naomba ubonyeze hapa ili uweze kujifunza yaliyomo kwenye hiki kitabu

Godius Rweyongeza

0755848391

Morogoro-Tz

Hakikisha Umesubscribe kwenye Channel yangu ya youtube kwa KUBONYEZA HAPA

Jiunge na mfumo wa kupokea makala maalumu kwa njia ya barua pepe kwa KUBONYEZA HAPA

Jipatie nakala za vitabu vyangu vya kiswahili kwa KUBONYEZA HAPA

Kama ungependa kujifunza kuhusu uandishi kutoka kwangu wasiliana nami kwa 0755848391

kila la kheri


One response to “KITABU CHA SUGU: From The Streets To Parliament; MUZIKI NA MAISHA”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X