Jinsi ya kuwa na fedha kama serikali


Bila shaka umewahi kusikia watu wanasema serikali ina fedha nyingi, au pengine wewe mwenyewe ndiye huwa unasema hivyo.

Sasa leo ni zamu yako wewe kuwa na fedha kama serikali. Na utaweza hili kwa kuwa na vyanzo vingi vya kipato. Wanasema serikali ina mkono mrefu. Na fedha yake inapata kutoka sehemu nyingi.
Kwanza ina una uwezo wa kuchapa fedha zake yenyewe. Na wewe unaweza kuchapa za kwako kama utafuata utaratibu nilioeleza kwenye makala hii.

Pili, serikali inakusanya kodi kutoka maeneo mengi kwa wakati mmoja. Wewe pia unaweza kukusanya faida kutoka vyanzo vingi ambavyo vitakunufaisha wewe.
Vyanzo kama, biashara zako, uwekezaji wako n.k.

Rafiki yangu, kuanzia leo, anza kutengeneza mfumo utaokuwa unafanya kazi kwa manufaa yako ili kukunufaisha wewe na kukuongezea kipato. Na hili linawezekana sana kwenye zama hizi za ubepari. Wewe mwenyewe kuwa bepari.

Soma zaidi: UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-8

Umekuwa nami,

GODIUS RWEYONGEZA

Hakikisha Umesubscribe kwenye Channel yangu ya youtube kwa KUBONYEZA HAPA

Jiunge na mfumo wa kupokea makala maalumu kwa njia ya barua pepe kwa KUBONYEZA HAPA

Jipatie nakala za vitabu vyangu vya kiswahili kwa KUBONYEZA HAPA

Kama ungependa kujifunza kuhusu uandishi kutoka kwangu wasiliana nami kwa 0755848391

kila la kheri


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X