KAMA HUWEZI KUKIFANYA KWA VIWANGO VIKUBWA, KIFANYE HATA KWA VIWANGO VIDOGO


 

Kama kitu huwezi kukifanya kwa viwango vya juu basi kifanye kwa viwango vya chini. Kama huwezi kuajiri watu wengi basi ajiri watu wachache.
Kama huwezi kuwa na vyanzo vingi vya kipato vinavyoingiza kipato kikubwa, basi kuwa na vyanzo zaidi vinavyoingiza hata kipato kidogo.
Kama huwezi kukimbia kilomita nne kwa siku, kimbia mita mia tano.
Kama huna mtaji wa kutosha wa kufanya biashara, Anza kidogo au bila mtaji kabisa.
Kama unaambiwa kipaji hakilipi bongo, tafuta namna ya kukifanya kikulipe. Ila kwa vyovyote vile usikubali kutokufanya kitu kabisa.

Umekuwa nami,

GODIUS RWEYONGEZA

Hakikisha Umesubscribe kwenye Channel yangu ya youtube kwa KUBONYEZA HAPA

Jiunge na mfumo wa kupokea makala maalumu kwa njia ya barua pepe kwa KUBONYEZA HAPA

Jipatie nakala za vitabu vyangu vya kiswahili kwa KUBONYEZA HAPA

Kama ungependa kujifunza kuhusu uandishi kutoka kwangu wasiliana nami kwa 0755848391

kila la kheri


One response to “KAMA HUWEZI KUKIFANYA KWA VIWANGO VIKUBWA, KIFANYE HATA KWA VIWANGO VIDOGO”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X