Deprecated: Constant FILTER_SANITIZE_STRING is deprecated in /home/songambele/public_html/wp-content/plugins/blogger-to-wordpress-redirection old/b2w-redirection.php on line 91
Kitu Muhimu Kinachokwamisha Wafanyabiashara na watu binafsi katika kufikia malengo yao - SONGA MBELE

Kitu Muhimu Kinachokwamisha Wafanyabiashara na watu binafsi katika kufikia malengo yao


 

Katika harakati za kukuza biashara na uchumi binafsi kuna kitu ambacho kinawakwamisha wafanyiashara na watu binafsi kufikia malengo yao. Kitu hiki ni kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja kwa matarajio ya kufanikiwa haraka.

Mambo mengi kwa wakati mmoja yanakupoteza. Ndio maana wahenga walishasema kuwa, miluzi mingi ilimpoteza mbwa. Kama unataka kufanikiwa basi chagua kitu kimoja tu na kifanye vizuri. Usitangetange. Kila la kheri.

Nakushukuru sana kwa kuweza kufuatilia somo hili mpaka mwisho. Umekuwa nami rafiki yako wa ukweli Godius Rweyongeza

Hakikisha Umesubscribe kwenye Channel yangu ya youtube kwa KUBONYEZA HAPA

Jiunge na mfumo wa kupokea makala maalumu kwa njia ya barua pepe kwa KUBONYEZA HAPA

Jipatie nakala za vitabu vyangu vya kiswahili kwa KUBONYEZA HAPA

Kama ungependa kujifunza kuhusu uandishi wa vitabu kutoka kwangu wasiliana nami kwa 0755848391

Kupata nakala ngumu ya kitabu cha KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI na kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO basi tuma ujumbe au piga kwa 0755848391

Kujifunza namna ya kutengeneza fedha kupitia blogu tuwasiliane kwa 0755848391

Kunialika kwa ajili ya kutoa mafunzo au semina kwenye kikundi chako, taasisi, kongamano n.k. wasiliana nami kwa email: songambele.smb@gmail.com au simu 0755848391


One response to “Kitu Muhimu Kinachokwamisha Wafanyabiashara na watu binafsi katika kufikia malengo yao”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X