Usiogope Kuuliza


Ukiona mtu amefanya kitu na kukifanikisha basi ujue mtu huyo  anajua kitu ambacho wewe hujui, hivyo kuwa tayari kumwuliza mbinu, kanuni, na sheria alizofuata mpaka akafanikiwa.

Ikumbukwe kuwa kuuliza sio ujinga hata kidogo. Hivyo, uliza nawe utajibiwa


Soma zaidi; Usiogope Kushindwa; Ni Sehemu Ya Kujifunza


Imeandikwa na Godius Rweyongeza,

Morogoro-Tz

0755848391

Hakikisha umeSUBSCRIBE kwenye YOUTUBE channel yangu HAPA

Pata vitabu vya kiswahili kwa kubonyeza HAPA


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X